Katika Somo hili utakwenda kujifunza mengi kuhusu ibada ya ndoa kulingana na taratibu na sheria za dini ya kiislamu. Tumeandaa somo hili kwa wale ambao ndio wanaelekea kufunga ndoa na wale ambao tayari wapo kwenye ndoa.
Katika somo hili utaweza kujifunza taratibu hatuwa kwa hatuwa kabla ya kuoa, nani anapasa kuolewa, kuchaguwa mchumba na kumuangalia mchumba. Utasoma zaidi namna ya kufunga ndoa na kuishi kwa wema ndani ya ndoa.
Taratibu za kuachana na hatua zinazopasa kuchukuliwa baada ya kugombana. Pia utajifunza aina kuu za talaka, na taratibu zake za kutaliki.
Tumeandaa kazi hii kwaajili ya Allah. Hivyo tunaomba dua njema kutoka kwako msomaji ili Allah atuongoze katika njia ya kheri.
YALIYOMO:UTANGULIZIUMUHUMU WA KUSWALILENGO LA SWALAMAANA YA SWALAKUSIMAMISHA SWALASHARTI ZA SWALATWAHARAKUCHUNGA WAKATIADHANA NA...
Hapa utajifunza:-1. sababu za kupunguwa kwa nguvu za kiume2. Njia za kujikinga...
Kitabu hiki kinakwenda kukuletea historia ya Mitume, watu walio wachamyngu na makhalifa...
Hapa utajifunza taratibu za kuomba dua kama:-1. MAANA NA FADHILA ZA DUA2....
Jufunze Dua na Adhkari alizokuwa akitumia Mtume Muhammad yeye na Sahaba zake...
Hiki ni kitabu cha pili katika mfululizo wa hadithi ndefu zilizopata kusimuliwa....
Created with AppPage.net
Similar Apps - visible in preview.