Back to Top
Kitabu cha Swala na jinsi  ya kuswali Screenshot 0
Kitabu cha Swala na jinsi  ya kuswali Screenshot 1
Kitabu cha Swala na jinsi  ya kuswali Screenshot 2
Kitabu cha Swala na jinsi  ya kuswali Screenshot 3
Free website generator for mobile apps; privacy policy, app-ads.txt support and more... AppPage.net

About Kitabu cha Swala na jinsi ya kuswali

Hiki ni kitabu kitakachokupa mafunzo ya swala, namna ya kuswali kama alivyoswali Mtume Muhammad (s.a.w) na masahaba zake.
Utajifunza:-
1. Jinsi ya kutia udhu
2. Kuondoa najisi
3. kuoga na kujitwaharisha
4. Sharti za swala
5. Nguzo za Swala
6. Dua za kwenye swala
7. tahiyatu
8. Swala ya Mtume
9. Dua baada ya swala
10. Yanayoharibu swala
11. Sunnah za swala

Kama utaona kuna makosa yeyote ya kiuadhishi ama kifahamu, tafadhali wasiiana nasi.

Similar Apps

SIMULIZI ZA HADITHI KITABU 2

SIMULIZI ZA HADITHI KITABU 2

0.0

Hiki ni kitabu cha pili katika mfululizo wa hadithi ndefu zilizopata kusimuliwa....

KITABU CHA DUA NA ADHKARI ZA M

KITABU CHA DUA NA ADHKARI ZA M

0.0

Jufunze Dua na Adhkari alizokuwa akitumia Mtume Muhammad yeye na Sahaba zake...

AFYA NA MAGONJWA

AFYA NA MAGONJWA

0.0

YALIYOMO:MARADHI YA MOYOMARADHI YA SARATANIMARADHI YA KISUKARIMARADHI YA UTIMRADHI YA VIDONDA VYA...

Hadithi ya Sinbadi

Hadithi ya Sinbadi

0.0

Huu ni mwendelezo wa Hadithi za Alif Lela U Lela. Hapa nitakuletea...

SWALA NA NAMNA YA KUISWALI

SWALA NA NAMNA YA KUISWALI

0.0

YALIYOMO:UTANGULIZIUMUHUMU WA KUSWALILENGO LA SWALAMAANA YA SWALAKUSIMAMISHA SWALASHARTI ZA SWALATWAHARAKUCHUNGA WAKATIADHANA NA...

Fiqh kwa kiswahili

Fiqh kwa kiswahili

0.0

Hii ni nafasi yako ya kujifunza FIQH kwa lugha ya kiswahili. ...

Frequently Asked Questions(FAQ)

Ni nini utapata katika kitabu cha Swala na jinsi ya kuswali?

Kitabu hiki kitakupa mafunzo ya swala, namna ya kuswali kama alivyoswali Mtume Muhammad (s.a.w) na masahaba zake. Utajifunza jinsi ya kutia udhu, kuondoa najisi, kuoga na kujitwaharisha, sharti za swala, nguzo za Swala, dua za kwenye swala, tahiyatu, Swala ya Mtume, dua baada ya swala, yanayoharibu swala, na sunnah za swala.

Je, kitabu hicho kina makosa yeyote?

Ikiwa utaona kuna makosa yeyote ya kiuadhishi ama kifahamu, tafadhali wasiliana nasi.