Kitabu cha Swala na jinsi ya kuswali
Haya ni mafunzo ya swala na namna ya kuswali katika uislamu.
About Kitabu cha Swala na jinsi ya kuswali
Hiki ni kitabu kitakachokupa mafunzo ya swala, namna ya kuswali kama alivyoswali Mtume Muhammad (s.a.w) na masahaba zake.
Utajifunza:-
1. Jinsi ya kutia udhu
2. Kuondoa najisi
3. kuoga na kujitwaharisha
4. Sharti za swala
5. Nguzo za Swala
6. Dua za kwenye swala
7. tahiyatu
8. Swala ya Mtume
9. Dua baada ya swala
10. Yanayoharibu swala
11. Sunnah za swala
Kama utaona kuna makosa yeyote ya kiuadhishi ama kifahamu, tafadhali wasiiana nasi.
Similar Apps
SIMULIZI ZA HADITHI KITABU 2
Hiki ni kitabu cha pili katika mfululizo wa hadithi ndefu zilizopata kusimuliwa....
KITABU CHA DUA NA ADHKARI ZA M
Jufunze Dua na Adhkari alizokuwa akitumia Mtume Muhammad yeye na Sahaba zake...
AFYA NA MAGONJWA
YALIYOMO:MARADHI YA MOYOMARADHI YA SARATANIMARADHI YA KISUKARIMARADHI YA UTIMRADHI YA VIDONDA VYA...
Hadithi ya Sinbadi
Huu ni mwendelezo wa Hadithi za Alif Lela U Lela. Hapa nitakuletea...
SWALA NA NAMNA YA KUISWALI
YALIYOMO:UTANGULIZIUMUHUMU WA KUSWALILENGO LA SWALAMAANA YA SWALAKUSIMAMISHA SWALASHARTI ZA SWALATWAHARAKUCHUNGA WAKATIADHANA NA...
Fiqh kwa kiswahili
Hii ni nafasi yako ya kujifunza FIQH kwa lugha ya kiswahili. ...
Frequently Asked Questions (FAQ)