This is an app for training in animal husbandry and treatment.
Elimu ya ufugaji na Matibabu inatolewa bila gharama ili kuwasaidia wafugaji wote kutoka mazingira mbalimbali. Elimu hii itakusaidia zaidi namna ya kupambana na magonjwa ya mifugo. Maswali yote ya mifugo na ufugaji yanayowasumbua wafugaji sehemu mbalimbali za nchi yatapatiwa majibu kupitia app hii.
Fuatilia makala zetu kila siku ili upate elimu bora ufugaji, kwa kuzingatia kanuni na mbinu za kisasa. Hakika hapa utapata elimu ya ufugaji bure kabisa na usisite kuwashirkisha wengine nao wafaidi elimu ya bure.
Katika mafunzo yetu utapata ya kujifunza magonjwa na tiba zake kwa kina zaidi. Magonjwa hayo ni kama vile:-
- NDIGANA KALI/BARIDI
- MAPELE NGOZI
-GUMBORO
-MAHEPE (Marecks)
- NDUI YA KUKU (Fowl Pox)
-MDONDO (New castle)
- MINYOO
-KUHARA DAMU (coccidiosis)(Koksidiosisi)
-HOMA YA MATUMBO(Fowl typhoid)
-VIROBOTO/CHAWA/UTITIRI
-UKOSEFU WA VITAMINI A
MUHIMU:
Karibu ujifunze nasi, pia kutoa maoni kupitia App yetu kwa urahisi sana.
Hii Ndiyo App namba moja inayokusogezea habari toka tasnia ya Michezo. Kupitia...
TechHub help users to access the articles and site about up to...
Chef Mapishi - Tunalenga kufundisha jinsi ya kutayarisha vyakula na vinywaji vya...
Elimu ya ufugaji na Matibabu inatolewa bila gharama ili kuwasaidia wafugaji wote...
Created with AppPage.net
Similar Apps - visible in preview.