The Holy Bible in Swahili is the Old and New Testament. Audio Christian Bible.
Biblia ni jina la jumla kwa ajili ya vitabu vitakatifu vya dini ya Uyahudi na hasa ya Ukristo. Neno limetokana na lugha ya Kigiriki ambayo ndani yake βιβλία (biblia) ina maana ya "vitabu" ikiwa ni wingi wa βιβλος (biblos). Hii ni kwa sababu Biblia ni mkusanyo wa maandiko mbalimbali yaliyoweza kutungwa kwa muda wa miaka 1000 hivi.
Hivyo Biblia ni tofauti na vitabu vingine kwa sababu iliandikwa na watu mbalimbali ambao hawakuwa pamoja wala hawakuandika kwa wakati mmoja, lakini vitabu vyote vimekusanywa na kuunda kitabu kimoja cha Biblia. Inasadikiwa na Wayahudi na Wakristo kwamba "Biblia ni kitabu kilichoandikwa na watu kwa uwezo wa Mungu".
Kuchagua kitabu kusikiliza:
AGANO LA KALE
AGANO JIPYA
Enjoy listening mp3 audio bibles free in english. This King James Version...
La Bible est un ensemble de textes considérés comme sacrés chez les...
Enjoy listening mp3 audio bibles free in english. This King James Version...
آډیو قرآن د Android وسیلو لپاره د قران پاک وړیا اپلیکیشن دی....
La Biblia Reina Valera es el conjunto de libros canónicos del judaísmo...
성경 또는 성서 은 유대교 및 기독교에서 가장 중요한 경전이다. 유대인과 기독교인은...
Created with AppPage.net
Similar Apps - visible in preview.