Back to Top
Nyimbo Za Kristo Screenshot 0
Nyimbo Za Kristo Screenshot 1
Nyimbo Za Kristo Screenshot 2
Nyimbo Za Kristo Screenshot 3
Free website generator for mobile apps; privacy policy, app-ads.txt support and more... AppPage.net

About Nyimbo Za Kristo

Nyimbo za Kristo ni programu inayojumuisha mkusanyiko wa nyimbo 220 kutoka katika kitabu cha Nyimbo za Kristo cha kanisa la Waadventista Wasabato kwa lugha ya Kiswahili kama kilivyohaririwa na kuchapwa na TANZANIA ADVENTIST PRESS (TAP).
Programu hii imeandaliwa kukuwezesha kumwamudu Mungu kwa njia ya uimbaji mahali popote na muda wowote, Nyimbo za kuburudisha, kutia moyo na kukufariji wakati wa huzuni.

Haitahusisha Matangazo- “..mmepata bure toeni bure.” – Mathayo 10:8
There will be No ads in this app "Freely you received, so freely give." - Matthew 10:8

Sifa za program ni kama zifuatazo:-

• Inahusisha eneo la utafutaji ambapo unaweza kutafuta wimbo kwa namba au kwa
neno unalokumbuka liwe jina la wimbo kwa Kiswahili, kwa kiingereza au maneno
yaliyo ndani ya wimbo.

• Inakuwezesha kuweka nyimbo unazozipenda katika orodha tofauti na hivyo kuupata
kwa urahisi wakati mwingine, pia unaweza kuuondoa pale unapoona inafaa.


• Inakuwezesha kufuatilia wimbo kwa njia ya ala za sauti (thanks to hymnserve.com for
the accompaniments).

• Inakuwezesha kukuza ukubwa wa maandishi wa maneno ya wimbo kadri unavyoona
inafaa.


• Inakuwezesha kushiriki maneno ya wimbo na ndugu jamaa na marafiki kwa urahisi.

• Inakuwezesha kubadili muonekano wa programu unaofaa katika mazingira ya
Mwanga au Giza ili kuwezesha uono usioumiza macho.
Programu hii imeandaliwa na kutengenezwa na Justin Diva na Godfrey Diva kwa
utukufu wa Mungu.

Similar Apps

Tenzi Za Rohoni

Tenzi Za Rohoni

5.0

Tenzi za Rohoni ni programu inayojumuisha mkusanyiko wa nyimbo 161 kutoka katika...

Holy Bible

Holy Bible

4.4

Holy Bible is the application that enables you to read a word...

Swahili-Eng - Biblia Takatifu

Swahili-Eng - Biblia Takatifu

0.0

Swahili-English Bible (Biblia Takatifu) inakuwezesha kusoma neno la Mungu kwa urahisi mahali...

author
This app is super wonderful its very interactive it guide user every step. I like the colors and layout too, the sound attached to each song its makes user remember the tone of the song. No adds
Joseph Joachim Joseph
author
Ubarikiwe developer, it's a nice app
Dynes Anyimike
author
Nice user interface. It's a perfect APP.
Godfrey .M. Benedicto
author
Vizuri Sana
Mwanamkoko Mwakabogo
author
It's a fantastic application with good experience Congratulations and hope to see more advancements on future updates Let the word of God be praised all over the universe Hallelujah
Farid Mtokonyo
author
Best app
francis mboya