History of Tanzania

Contains adsIn-app purchases
100+
Downloads
Content rating
Everyone
Screenshot image
Screenshot image
Screenshot image
Screenshot image
Screenshot image
Screenshot image
Screenshot image
Screenshot image

About this app

(Kiswahili)

Tanzania (jina rasmi: Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi iliyoko Afrika ya Mashariki ndani ya ukanda wa maziwa makuu ya Afrika. Imepakana na Uganda na Kenya upande wa kaskazini, Bahari Hindi upande wa mashariki, Msumbiji, Malawi na Zambia upande wa kusini, Kongo, Burundi na Rwanda upande wa magharibi.

Eneo lina kilometa za mraba 947,303 (nchi ya 31 duniani); maji ya ndani yanachukua asilimia 6.2. Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu zaidi barani Afrika, upo kaskazini-mashariki mwa Tanzania.

Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 ilikuwa 61,741,120 (nchi ya 24 duniani) kutoka 44,928,923 waliohesabiwa katika sensa ya mwaka 2012, likiwa ongezeko la 3.2% kwa mwaka.

Msongamano ni wa watu 47.5 kwa km² (nchi ya 124 duniani).

Mji mkuu ni Dodoma (wenye wakazi 410,956), lakini Dar es Salaam ndilo jiji kubwa zaidi, lenye watu 4,364,541.

Miji mingine ni kama vile Mwanza (706,543), Arusha (416,442), Mbeya (385,279), Morogoro (315,866), Tanga (273,332), Kahama (242,208), Tabora (226,999) na Zanzibar (223,033).

(English)

The modern-day African Great Lakes state of Tanzania dates formally from 1964, when it was formed out of the union of the much larger mainland territory of Tanganyika and the coastal archipelago of Zanzibar. The former was a colony and part of German East Africa from the 1880s to 1919s when, under the League of Nations, it became a British mandate. It served as a British military outpost during World War II, providing financial help, munitions, and soldiers. In 1947, Tanganyika became a United Nations Trust Territory under British administration, a status it kept until its independence in 1961. The island of Zanzibar thrived as a trading hub, successively controlled by the Portuguese, the Sultanate of Oman, and then as a British protectorate by the end of the nineteenth century.

Julius Nyerere, independence leader and "baba wa taifa" (father of the nation) for Tanganyika, ruled the country for decades, while Abeid Amaan Karume, governed Zanzibar as its president and Vice President of the United Republic of Tanzania. Following Nyerere's retirement in 1985, various political and economic reforms began. He was succeeded in office by President Ali Hassan Mwinyi.
Updated on
Oct 30, 2023

Data safety

Safety starts with understanding how developers collect and share your data. Data privacy and security practices may vary based on your use, region, and age. The developer provided this information and may update it over time.
This app may share these data types with third parties
App info and performance and Device or other IDs
This app may collect these data types
App info and performance and Device or other IDs
Data is encrypted in transit
Data can’t be deleted