Mafundisho ya Biblia, ni App inayokupa msingi wa mafundisho mbalimbali ya biblia takatifu kwa lugha ya kiswahili. Kupitia App hii utajifunza masomo kama theolojia, Ufafanuzi wa kina juu ya mwongozo wa kujifunza biblia kupitia Agano jipya pamoja na Agano la Kale.
Kupitia App hii utapata mafundisho ya biblia kutokana na vitabu hivi